Featured

    Featured

  • Shukrani kwa kutembelea mtandao huu
  • Sambaza mtandao huu kadri uwezavyo
  • Tangaza nasi kwa bei poa
  • Wasiliana nasi
  • Mtaanikwetublog@gmail.com
  • Shukrani

Mapigano ya wakulima na wafugaji yaibuka tena mvomero


Habari zilizotufikia hivi punde 
zaidi ya mbuzi na kondoo 200 huko morogoro wilaya ya mvomero kijiji cha dihinda wamekatwa katwa na walinzi wa jadi kutoka  Gairo wanaojulikana kwa jina la Mwanu

Taarifa zinasema kuwa mifugo hiyo ilikula nusu hekari  ya mazao ya mkulima mmoja kijijini hapo na taarifa ziliwafikia  walinzi hao ambapo walifika na kukatakata hiyo mali ya mama mmoja mjane mfugaji wa jamii ya kimasai

Lakini inadaiwa kuwa mifugo ya mama huyo haikuhusuka kula mazao hayo bali ni mifugo ya mfugaji mwingine ndio iliyohusika


waziri mwenye dhamana kupitia  wizara ya mifugo na kilimo hivi sasa ameelekea eneo la tukio
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Translate

Total Pageviews

Copyright © Mtaani Kwetu | Designed By Balozi wa mtaa